Lupa
Search Loader

Grace Zuzo 
Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani 

Apoio
Adobe DRM
Capa do Grace Zuzo: Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani (ePUB)

Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.

€8.49
Métodos de Pagamento
Formato EPUB ● Páginas 30 ● ISBN 9781088089606 ● Tamanho do arquivo 5.0 MB ● Idade 17-12 anos ● Editora Grace Zuzo’s books ● Publicado 2023 ● Edição 1 ● Carregável 24 meses ● Moeda EUR ● ID 8812979 ● Proteção contra cópia Adobe DRM
Requer um leitor de ebook capaz de DRM

Mais ebooks do mesmo autor(es) / Editor

994 Ebooks nesta categoria