Förstoringsglas
Sök Loader

Grace Zuzo 
Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani 

Stöd
Adobe DRM
Omslag till Grace Zuzo: Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani (ePUB)

Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.

€8.49
Betalningsmetoder
Formatera EPUB ● Sidor 30 ● ISBN 9781088089606 ● Filstorlek 5.0 MB ● Ålder 17-12 år ● Utgivare Grace Zuzo’s books ● Publicerad 2023 ● Utgåva 1 ● Nedladdningsbara 24 månader ● Valuta EUR ● ID 8812979 ● Kopieringsskydd Adobe DRM
Kräver en DRM-kapabel e-läsare

Fler e-böcker från samma författare (r) / Redaktör

994 E-böcker i denna kategori